Pages

Wednesday, July 31, 2013

Dini ya Shetani imempa nafasi kutawala muziki duniani

JIGGA NI NGUMU KUWAFANYA WATU WAMUAMINI 

Mama wa Mjomba: Dini ya Shetani imempa nafasi kutawala muziki duniani”
Hofu kila kona ni tishio la utawala wa dini ya Shetani. Kwa upande wa muziki, mwana Hip Hop mwenye pesa nyingi zaidi, Shawn Cutter ‘Jay- Z’ au Jigga anatajwa kutawala game kupitia imani hiyo.

Anatajwa zaidi kuamini katika Illuminati au Secret Society (Jamii ya Siri), ingawa lipo tabaka linaloamini kuwa Jigga ni muumini wa Freemasonry. Katika interview tuliyoinasa kupitia YouTube Jigga akizungumzia kuhusishwa kwake na Dini ya Shetani (Illuminati, Freemasonry), anasema kuwa yeye haamini dini, haukubali Ukristo wala Uislamu.

“Watu wanatakiwa kunijua vizuri, waijue imani yangu. Namuamini Mungu, namuamini Mungu mmoja. Siamini dini, Ukristo wala Uislamu.” Mahojiano yapo kama ifuatavyo;

SWALI: Watu wanazungumza wewe ni mfuasi mwaminifu wa Illuminati, Freemason, Dini ya Shetani kitu kama hicho.

JIGGA: No, nashindwa kujua haya yametoka wapi, sijui yameanzaje, kwa kweli siwezi kusema.

SWALI: Watu wanasema kwenye video za nyimbo zako unatumia alama ya Illuminati, labda swali langu ni je, una uhusiano na watu wenye unabii na imani hiyo?

JIGGA: No, siyo mimi. Sijawahi kufanya hivyo. Nimekuwa nikitumia alama hizo kwenye nyimbo zangu kwa sababu naamini zinauza. Labda niseme na watu wajue imani yangu, namuamini Mungu mmoja, siamini dini, siamini jehanamu. Unajua hizi alama huwa nakisia, watu wananiunga mkono. Nafanya shoo na watu tunaonesha alama za kufanana.

SWALI: Umezijuaje wakati ni Jamii ya Siri? Illuminati (secret society).

JIGGA: Yeah, ila kwa sasa ni kundi kubwa. Halafu hizo alama, unajua mimi ni mburudishaji, nazitumia kuburudisha.

SWALI: Ukionesha hizo alama za dini ya shetani mashabiki wanapenda?

JIGGA: Bila shaka.

SWALI: Unafikiri imani hiyo ipo?

JIGGA: Sijui hasa ila watu wanaosafiri duniani wanaweza kufafanua. Sijui kuhusu Dini ya Shetani kwa sababu mimi siyo Tommy Hanks (staa wa filamu ya Illuminati) lakini kuna mtu wangu Young Jeezy ana kitu kuhusu dini hiyo. Nina uhakika Obama (Barack) ana watu hao.

JIGGA NA BEYONCE DINI MOJA
Galacha huyo wa Hip Hop anayeaminika ndiye tajiri zaidi akiwa anamiliki utajiri unaokadiriwa kufikia dola milioni 150 (shilingi bilioni 240), alifunga ndoa na staa wa R&B, aliye memba wa zamani wa kundi marehemu la Destiny’s Child, Beyonce Knowles.

Jigga na Beyonce wamekuwa wakionesha alama za dini ya shetani, hivyo kufanya wote wawili kuwekwa kundi mmoja kwamba like husband like wife wote ni Dini ya Shetani. Wakati mwingine, Beyonce amekuwa akionesha alama za Dini ya Shetani hata katika mazingira ya kawaida, hivyo kuzidi kuuthibitishia umma.

JIGGA NI NGUMU KUWAFANYA WATU WAMUAMINI
Ni ngumu kwa Jigga kuwafanya watu wamuamini yeye siyo Illuminati. Sababu ni hizi;

MOSI: Amesema yeye siyo Mkristo na haamini dini hiyo lakini mbona anavaa msalaba?

PILI: Anasema yeye siyo Freemasonry lakini mbona kwenye wimbo “Run this Town” amejitaja ni muumini wa imani hiyo, pia kwenye video yake amejaza alama za Dini ya Shetani?

TATU: Mbona anapenda kupiga pamba zenye nembo za Illuminati au Freemasonry na mikono yake kuonesha alama hizo?

CHANZO CHA BIFU LAKE NI TUPAC NI ILLUMINATI
Jigga alianza kumshambulia Mfalme wa Hip Hop, marehemu Tupac Shakur ghafla. Hakukuwa na chanzo kinachoeleweka. Katika kukoleza bifu, Jigga akaamua kufanya kazi kwa ukaribu na hasimu wa Tupac wakati huo, marehemu Christopher Wallace ‘Notorious BIG’.

Documentary inayoelezea kifo cha Tupac na dhana ya Illuminati (Tupac’s Death & Illuminati Conspiracy Theory), inafunuliwa kuwa Jigga alianza kumpiga vita gwiji huyo wa mauzo ya Hip Hop baada ya kuponda Dini ya Shetani.

Tupac aliiponda Illuminati. Akasimama mstari wa mbele kuipinga. Hiyo ikawa sababu ya Jigga kumrudi mfalme huyo wa Hip Hop. Documentary hiyo ambayo inahusisha mahojiano na wanamuziki na watu wengine wenye ushawishi nchini Marekani, inasema kuwa kifo cha Tupac kilisababishwa na Illuminati, dini ambayo inatajwa kuwa na nguvu nyingi za giza. Kwamba ili kumuua Pac a.k.a Makaveli The Don, Illuminati walipanda mbegu ya mauaji kwa watu waliotekeleza shambulio la risasi alizopigwa Septemba 7, 1996 kabla ya kufa siku sita baadaye (Septemba 13, 1996).

Inatajwa kwamba ndiyo maana mpaka leo wauaji hawajulikani. Mchongo mzima ulisimamiwa na Jamii ya Siri (Secret Society). Chanzo cha Pac ‘kuidisi’ Illuminati kabla ya Jigga kumgeuka ni kuwa akiwa jela, alipata taarifa kuwa dini hiyo ndiyo ilikuwa inashika mamlaka yote, ilikuwa inaenda kwa kasi na itatawala dunia nzima.

Hilo lilimuudhi Tupac kwa sababu hakutaka kutawaliwa na dini hiyo, kwahiyo akaanza kupambana nayo. Tupac, alikasirika zaidi alipoambiwa kuwa hata kufungwa kwake jela mwaka 1995 ilitokana na nguvu za Illuminati kwa sababu hakutenda kosa ila aliingizwa hatiani.

Skendo ya kubaka iliyompeleka jela ikaelezwa ni kutaka kuchafua sifa yake ya kutetea haki za watu weusi Marekani, kuwapigania wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya unyanyasi. Moja ya disi, Tupac anaimba: “Mimi ni muuaji wa Bad Boy, Jay Z atakufa pia.” Kuhusu ujumbe wa Illuminati kummaliza, alijibu: “Sijui hayo maneno kapata wapi, kaambiwa na Papa?”

ANASAIDIA JAMII ‘SANA TU’
Nje ya muziki, Jigga hujihusisha katika shuhuli za uhisani. Agosti 9, 2006 alikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo, Kofi Annan ofisini kwake, New York na kumuahidi kufanya ziara ya kutoa elimu ya kuhusu upungufu wa maji duniani.

Alilitekeleza hilo, pia akashirikikiana na Umoja wa Mataifa pamoja na MTV kutengeneza documentary ya kampeni ya maji aliyoipa jina, Diary of Jay-Z: Water for Life, na ilirushwa hewani kwa mara ya kwanza Novemba 2006. Akishirikiana na Sean Combs ‘P Diddy’, Jay-Z alitoa dola milioni 1 (zaidi ya shilingi bilioni 1.4) kulichangia Shirika la Msalaba Mwekundu ili kusaidia waathirika wa Katrina.

ANASHIKA NAMBA TATU KWA MAUZO HIP HIP
Unapowaondoa Tupac na ‘mzungu kichaa’, Eminem, Jay Z ndiye anabaki juu yaw engine wote katika mauzo ya muziki wa Hip Hop. Anakadiriwa kuuza nakala kati ya milioni 40 na 50 duniani kote.

ALBAMU ALIZOTOA
Reasonable Doubt (1996), In My Lifetime, Vol. 1 (1997), Vol. 2… Hard Knock Life (1998), Vol. 3… Life and Times of S. Carter (1999), The Dynasty: Roc La Familia (2000), The Blueprint (2001), The Blueprint2: The Gift & The Curse (2002), The Black Album (2003), Kingdom Come (2006), American Gangster (2007) na The Blueprint 3 (2009).


HOFU YA KUTAWALA DUNIA
Watu wanazungumza kwamba siku zijazo anaweza kutawala dunia kwa upande wa muziki. Baadhi ya video zinatoka sasa na kumchambua kuwa amepewa mamlaka makubwa na Freemasonry. Mahudhurio ya shoo yake ya hivi karibuni alipochangia jukwaa na Eminem kwenye Uwanja wa Yankees, New York, Marekani yalitia mshtuko baada ya kuingiza watu 52,000. Imetajwa kuwa hao walivutwa na Freemasonry, pia ni zawadi kwake.

HUYU NDIYE ZAY -Z
Jina lake kamilini ni Shawn Corey Carter, alizaliwa Desemba 4, 1969, Bedford Stuyvesant, Brooklyn, New York, Marekani, umri wake kwa sasa ni miaka 40. Alitekelezwa na baba yake akiwa mdogo, hivyo kuishi kwa nguvu ya mama. Akiwa na umri wa miaka 12, alimpiga risasi kaka yake begani kwa kumuibia kidani chake. Alisoma George Westinghhouse Career and Technical Education High School, Downtown Brooklyn ambako alikutana na wakali wengine wa Hip Hop, Big, AZ na Busta Rhymes, baadaye alijiunga Trenton Central High School, Trenton lakini akafeli, hivyo kuanza kukomaa na muziki, pia kujihusisha na kuuza dawa za kulevya.
************************************

Tibu magonjwa yafuatayo kwa kutumia Maji tuu...

UNAWEZA KUJITIBU KWA KUNYWA MAJI TUU!

Bila shaka kila mtu anafahamu umuhimu wa maji, lakini si watu wote wanafahamu kuwa maji ni dawa pia, licha ya kutumika kwa ajili ya kunywa ili kukata kiu.

Nchini Japani na nchi nyingine nyingi za bara la Asia, ni jambo la kawaida kwa watu wake kunywa maji kwanza asubuhi kabla ya kula kitu chochote, tabia hii ina faida kubwa kwa afya ya binadamu na hata utafiti wa kisayansi uliokwishafanywa, umethibitisha thamani ya maji katika kuponya, kuzuia au kudhibiti magonjwa kadhaa yanayosumbua watu wengi.

Chama Cha Madaktari cha Japan (Japanese Medical Society) kimethibitisha kuwa maji yana uwezo wa kutibu, kwa asilimia 100, magonjwa sugu na maarufu yafuatayo, iwapo mtu atafuata kanuni na taratibu za kunywa maji hayo kama tiba:

Kuumwa kichwa, maumivu ya mwili, mfumo wa moyo, moyo kwenda mbio, kifafa, uzito mkubwa, pumu, kifua kikuu, uti wa mgongo, ugonjwa wa figo, magonjwa ya mkojo, kutapika, vidonda vya tumbo, kuharisha, kisukari, saratani, ukosefu wa choo, mataizo ya macho, tumbo, hedhi, sikio, pua, nk.

JINSI YA KUTUMIA MAJI KAMA TIBA
Ili maji yatumike kama tiba, kunywa kiasi cha lita moja na robo (glasi nne kubwa) ya maji safi na salama (yasiwe maji baridi) asubuhi na mapema kabla ya jua kuchomoza na kabla ya kupiga mswaki.

Baada ya kunywa kiasi hicho cha maji, usile wala kunywa kitu kingine hadi baada ya dakika 45 au saa moja. Baada ya muda huo, sasa unaweza kusafisha kinywa na kula mlo wako wa asubuhi kama kawaida.

Aidha, mara baada ya kula mlo wako wa subuhi, usile wala kunywa kitu chochote hadi baada ya muda wa saa mbili kupita. Hivyo hivyo utafanya baada ya mlo wako wa mchana au jioni.

Kwa wale wagonjwa ambao hawawezi kunywa kiasi cha maji cha lita 1 na robo kwa wakati mmoja, wanaweza kuanza kwa kunywa na kiasi kidogo watakachoweza na kuongeza taratibu hadi kufikia kiwango hicho cha glasi nne kwa siku.

Utaratibu huu wa kunywa maji ulioelezwa hapo juu, una uwezo wa kutibu maradhi yaliyotajwa hapo awali na kwa wale ambao hawana maradhi yoyote, basi wataimarisha afya zao zaidi na kujipa kinga itakayowafanya waishi maisha yenye afya bora zaidi.

UNAWEZA KUPONA BAADA YA MUDA GANI?
Yafuatayo ni baadhi ya magonjwa na idadi ya siku zake za kuponya zikiwa kwenye mabano kama ilivyothibitishwa na watafiti:

Shinikizo la damu (High Blood Pressure) (siku 30), Vidonda vya tumbo (siku 10), Kisukari (siku 30), saratani (siku 180) na Kifua Kikuu (siku 90).

Kwa mujibu wa watafiti, tiba hii haina madhara yoyote, hata hivyo katika siku za mwanzo utalazimika kukojoa mara kwa mara. Ni bora kila mtu akiwa akajiwekea mazoea ya kunywa maji kwa utaratibu huu kila siku katika maisha yake yote ili kujikinga na maradhi mbalimbali.

KUNYWA MAJI ILI UWE NA AFYA NJEMA NA UBAKI MCHANGAMFU SIKU ZOTE!

Faida ya Juice za Matunda katika mwili wa Binadamu

ZIJUE FAIDA ZA JUICE ZA MATUNDA MWILINI


Juisi ni kinywaji bora na maarufu duniani, lakini ni vyeme ukajua juisi ipi ina faida mwilini na ipi haina faida yoyote. Katika zama tulizonazo, kumezuka aina nyingi za vinywaji vinavyoitwa juisi, wakati si juisi bali ni vinywaji vyenye ladha ya matunda mbalimbali.

Juisi ni kinywaji kilichotengenezwa kutokana na tunda halisi au mboga na si mchanganyiko wa maji na kemikali nyingine zenye ladha ya matunda na kupewa majina kama juisi ya machungwa, nanasi, zabibu, n.k. Mara nyingi vinywaji hivyo huwekewa sukari na kemikali nyingine za kuhifahdia (preservertives) ili zisiharibike, ambavyo kiafya havikubaliki.

Licha ya kutumia jusi halisi kama kinywaji tu, juisi pia hutoa kinga na tiba kwa maradhi mbalimbali. Iwapo mtu atatengeneza mchanganyiko maalum wa matunda na kutayarisha juisi maalum na kuinywa, anaweza kupata kinga na tiba ya matatizo mbalimbali ya kiafya kama ilivyoanishwa hapa chini:

KAROTI+ KITUNGUU SWAUMU + EPO
Juisi ya mchanganyiko wa karoti, kitunguu swaumu na epo (apple) husafisha sumu mwilini na kuupa mwili nguvu.

EPO+TANGO+FIGILI
Juisi ya mchanganyiko wa tunda la epo, tango na mboga ya majani aina ya Figili (celery) hutoa kinga ya saratani, hupunguza mafuta ya kolestro mwilini na huondoa hali ya kuchafuka kwa tumbo na kuumwa kichwa.

NYANYA+KAROTI+EPO
Juisi ya mchanganyiko wa nyanya, karoti na epo huboresha rangi ya ngozi na huondoa harufu mbaya mdomoni.

CHUNGWA+TANGAWIZI+TANGO
Juisi ya mchanayiko wa machungwa, tangawizi na matango huboresha ngozi na hushusha joto la mwili.

NANASI+EPO+TIKITI MAJI
Juisi ya mchangayiko wa nanasi, epo na tikitimaji huondoa mlundikano wa chumvi mwilini, husafisha kibofu cha mkojo pamoja na figo. Hii ina maana kwamba juisii hii ni kinga tosha dhidi ya magonjwa ya kibofu cha mkojo na figo.

KAROTI+EPO+PEASI+EMBE
Juisi ya mchangayiko wa karoti, epo, peasi na embe hushusha joto la mwili, huondoa sumu mwilini, hushusha shinikizo la damu na hupambana na matatizo ya kupumua.

PAPAI+NANASI+MAZIWA
Mchanganyiko wa papai, nanasi na maziwa, ambao una kiwango kikubwa cha vitamin C, E na Chuma (Iron), huboresha rangi ya ngozi na kuifanya iwe nyororo na husaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni (metabolism).

NDIZI+NANASI+MAZIWA
Nao mchangayiko wa ndizi, nanasi na maziwa una vitamin nyingi na virutubisho vingi na huondoa tatizo la ukosefu wa choo.

Kwa ujumla, juisi ya mchanganyiko wa matunda hayo ukitumiwa kama ipasavyo hutoa kinga tosha dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili na huweza pia kuwa tiba ya magonjwa yaliyotajwa hapo awali. Ili uone faida za matunda katika suala zima la afya ya mwanadamu, jenga mazoe ya kula matunda hayo kabla hujapatwa na maradhi, kwani kwa kufanya hivyo utaupa mwili wako ile kinga yake ya asili ya kupambana na adui maradhi.

Mwili wako unaweza kupata kinga kwa njia hizi

Ijue siri ya kuwa na kinga ya mwili imara


Kinga ya mwili ndiyo kila kitu katika afya ya binadamu. Kinga ya mwili ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali. Ukiwa na kinga imara ya mwili, huwezi kuugua mara kwa mara.

Kuumwa mara kwa mara ni dalili tosha kuwa kinga yako ya mwili imeshuka na hivyo unahitaji kuchukua hatua za kuiimarisha. Mungu aliuumba mwili ukiwa na uwezo wake wa kujikinga na magonjwa yote, ikiwa tu utaupatia vyakula inavyohitaji kuimarisha kinga yake.


Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kujua ni vyakula gani vina imarisha kinga na vyakula gani vinapunguza nguvu ya kinga ya mwili. Leo tunazungumza kuhusu kinga ya mwili kwa kuangalia aina ya vyakula vya kuepuka au kuzingatia ili kuupa mwili uwezo wa kujikinga na maradhi. Na kumbuka kinga ni bora na rahisi kuliko tiba!

EPUKA ULAJI WA  SUKARI 

Kama kuna kitu kinapendawa sana na watu wengi ni sukari, lakini siyo nzuri kwa afya yetu inapotumiwa kupita kiwango. Kiwango cha kawaida cha sukari kinachoruhusiwa kutumiwa ni kijiko kimoja kidogo (teaspoon), kinapozidi hapo huwa kinachangia kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili. Inaelezwa kuwa chupa moja ya soda ina karibu vijiko 6 vya sukari. Hivyo kama wewe ni mnywaji mkubwa wa soda na vinywaji vingine vya aina hiyo, utaona ni kiasi gani unaharibu kinga yako ya mwili kadri unavyotumia kila siku!

EPUPA UNYWAJI WA KAHAWA
Kirutubisho kiitwacho ‘caffeine’ kilichomo kwenye kahawa kinaweza kuondoa virutubisho muhimu katika mwili kama vile calcium, magnesium na potassium. Kahawa huweza pia kuathiri mfumo wetu wa fahamu na kusababisha wasiwasi na ukosefu wa usingizi.

Hivyo unywaji wa mara kwa mara na wa kiasi kingi wa kahawa huukosesha mwili kupumzika, ili hali kupumzika pamoja na kulala usingizi ni vitu muhimu sana katika uponyaji wa maradhi mengi ya mwili kwa njia ya asili. (Natural healing).

USINYWE KILEVI
Unywaji wa pombe kupita kiasi ni sumu kwa miili yetu. Kitu cha kwanza kuathirika na ulevi wa kupita kiasi ni ini, halikadhalika mfumo wa fahamu nao huathirika, hali hiyo hudumaza pia uzalishaji wa seli za damu mwilini (blood cells).

JIHADHARI NA VYAKULA VIBICHI
Osha vizuri na kwa umakini sana matunda kabla ya kuyala. Kuna bakteria wa kila aina kwenye vyakula vibichi, yakiwemo matunda, hivyo kuosha matunda kwa makini ni muhimu. Pia ulaji wa mayai mabichi au yaliyopikwa na kuiva kiasi huweza kuwa na bakteria, hivyo kinga ya mwili kudhoofika na wale wenye kinga dhaifu wanaweza kupatwa na magonjwa ya mlipuko.

EPUKA, CHIPS, VYAKULA VYA KUKAANGA NA KUOKA
Vyakula vya kukaanga kama vile chips na vinginevyo, pamoja na vyakula vya kuoka huwa na mafuta mabaya ambayo huwa na tabia ya kutengeneza magonjwa mwilini (fee radicals) ambayo huathiri mfumo wa kinga ya mwili pamoja na chembechembe za nasaba (DNA). Vyakula hivi ni vya kuliwa kwa nadra sana au kuepukwa kabisa.

EPUKA VYAKULA VYA MAKOPO
Epuka ulaji wa vyakula vya kwenye makopo na badala yake pendelea kula vyakula ‘fresh’ na vya asili. Ulaji wa vyakula vya asili, hasa vyakula vitokanavyo na nafaka zisizokobolewa, huwa na idadi kubwa ya vitamini, madini na kamba-lishe ambazo ni muhimu sana katika kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili.

KULA KWA WINGI MBOGA- MBOGA
Kula kwa wingi mboga za majani na matunda. Zabibu ni miongoni mwa matunda yanayotajwa kuwa na virutubisho vingi vyenye uwezo wa kuzuia mlaji asipatwe na ugonjwa wa saratani. Aidha, inashauriwa kutokula kwa wingi matunda yenye kiwango kikubwa cha sukari, kama vile ndizi na maembe. Ulaji wa matunda haya uwe ni kwa uchache.

TUMIA VIUNGO HIVI KILA SIKU
Vitunguu maji, vitunguu saumu, tangawizi, uyoga, n.k, ni viungo muhimu vya mboga ambavyo vinasaidia sana kuimarisha kinga ya mwili, hivyo inashauriwa kuvitumia kila siku katika milo yetu.

KUNYWA MAJI ‘VUGUVUGU’ MENGI KILA SIKU
Unapokunywa maji usinywe maji yaliyoganda au ya baridi sana. Unapokunywa maji baridi unaupa kazi mwili wako wa kuyachemsha tena hadi kufikia nyuzi joto 98.6, hivyo pendelea kunywa maji ya uvuguvugu kiasi cha lita moja hadi tatu kwa siku.

Mwili unapokuwa na maji ya kutosha, hurahisisha kazi ya ini na figo ya kuondoa sumu mwilini na kuimarisha kiwango cha sukari mwilini. Pia maji hufanya utumbo mpana wakati wote kuwa na unyevu ambao husaidia kupambana na virusi vya aina mbalimbali.

PATA MUDA WA KULALA
Kutegemeana na umri wa mtu, binadamu anatakiwa kupata usingizi kwa muda wa saa 6 hadi 10 kwa siku. Usingizi hujenga uwiano mzuri wa homoni mwilini na hujenga uzito sahihi wa mwili na kujenga ngozi nyororo. Yakizingatiwa kwa vitendo mambo yaliyotajwa katika makala haya, kinga yako itaimarika na kamwe hutasumbuliwa mara kwa mara na magonjwa ya kawaida.

Unaweza kuepuka magonjwa ya Saratani kwa njia hii

LISHE SAHIHI INAVYOWEZA KUKUEPUSHA NA SARATANI



Wataalamu wa masuala ya afya wanaamini kuwa robo ya vifo vyote vinavyotokana na saratani husababishwa na ulaji vyakula usiosahihi na unene wa kupita kiasi (obesity).

Aidha, inaaminika kuwa milo yetu ya kila siku inachangia kwa kiasi kikubwa saratani za aina mbalimbali zikiwemo za tumbo, mdomo na matiti.

Hata hivyo, unaweza kupunguza hatari ya kupatwa na saratani kwa kuzingatia ulaji sashihi kama ambavyo tumekuwa tukieleza kila wiki katika makala yetu na kama itakavyosisitizwa tena leo katika makala haya.

Wataalamu wetu wanashauri watu wapende kula vyakula vyenye ‘faiba’ nyingi (ufumwele), kama matunda, mboga za majani na kula kwa uchache sana nyama nyekundu na vyakula vya kusindikwa. Vyakula vya kwenye makopo vinapigwa vita kutokana na kemikali zinazotumika kuhifadhia vyakula hivyo.

Katika makala ya leo tutajaribu kueleza ni kwa kiasi gani vyakula unavyokula vinaweza kukuongozea hatari ya kupata saratani. Aidha tutaelezea ni ulaji upi sahihi unaoweza kukuepusha na saratani.

UHUSIANO KATI YA LISHE NA SARATANI.
Uhusiano kati ya saratani na lishe ni suala tete na gumu kulibainisha. Hali hii inatokana na ukweli kwamba milo yetu ina mchanganyiko wa vyakula vingi na virutubisho mchanganyiko. Vyakula vingi huchangia hatari ya mtu kupata saratani, hasa vinapochanganywa na vingine, ingawa wakati mwingine mtu huweza kupata saratani kwa kurithi vinasaba ‘genes’.

Wanasayansi wengi wanafanya kazi usiku na mchana ili kujua ni vyakula gani hasa vinaweza kutulinda dhidi ya saratani na vyakula vipi vinaweza kutusababishia satarani, baadhi ya tafiti zimeshaweza kulijua hilo na tafiti zaidi bado zinaendelea kufanywa.

Kwa sasa, vipo vyakula vinavyofahamika kwa ubora ambavyo kila mtu anapaswa kuvila. Tunaelewa pia kuwa mlo sahihi unasaidia kudhibiti uzito wa mwili ambao ukidhibitiwa vizuri, unamuondolea mtu hatari ya kupata saratani za aina mbalimbali.

MATUNDA NA MBOGA MBOGA
Ulaji wa matunda na mboga kwa wingi kunapunguza hatari ya mtu kupata ugonjwa wa saratani, hasa saratani ya viungo vya kwenye mfumo wa kupitishia chakula, kama vile mdomo, tumbo na njia ya haja kubwa. Hata hivyo matunda na mboga vinaweza visiondoe kabisa hatari ya mtu kupata saratani zinazosababishwa na ‘homoni’ kama saratani ya ziwa na kizazi.
USHAURI SAHIHI: Penda kula angalau milo mitano ya matunda kwa siku na mboga tofauti tofauti. Ulaji wa matunda ya rangi tofauti husaidia kupata aina mbalimbali za vitamini na madini ambayo yataupa kinga mwili wako dhidi ya maradhi mbalimbali.

NYAMA
Ulaji kidogo wa nyama nyekundu na za kusindika husaidia kupunguza hatari ya kupata saratani ya utumbo, kwani vyakula hivyo si vya kupenda kula kwa wingi, japo ni vitamu mdomoni.

Kuwa na tabia ya kupenda sana kula nyama nyekundu na za kusindika kunaongeza hatari ya mtu kupata saratani ya tumbo. Nyama nyekundu zinajumuisha pia nyama ya nguruwe, iwe ya vipande au kusagwa pamoja na ‘soseji’. Nyama nyeupe, kama vile ya kuku na samaki hazina hatari.

USHAURI: Kula kiasi kidogo sana cha nyama nyekundu na za kusindika. Badilisha kwa kula maharage au kunde badala ya nyama. Unapopika nyama, tumia joto kiasi au mvuke, upikaji nyama kwa moto mkali mpaka inaungua kunaweza kuzalisha kemikali za saratani.

SAMAKI
Ulaji kwa wingi wa samaki kunaweza kukupunguzia hatari ya kupata saratani. Pendelea kula samaki zaidi kuliko nyama nyekundu au za kusindika kama tulivyozianisha hapo juu. Samaki wa kuoka, kuchemsha ni bora zaidi.

VYAKULA VYENYE CHUMVI
Vyakula vyenye chumvi nyingi au vyakula vilivyohifadhiwa kwa chumvi, vinaongeza hatari ya mtu kupata satarani ya utumbo na koo. Hata hivyo, tafiti zingine zinaonesha kuwa chumvi ya mezani inayotumika kupikia au kuongezea ladha haina uwezekano wa kuchangia saratani, lakini chumvi nyingi huongeza shinikizo la damu na hatari ya kupata ugonjwa wa moyo na hatimaye kiharusi.

USHAURI: Usipende kula vyakula vyenye chumvi nyingi au vile vilivyohifadhiwa kwa kutumia chumvi. Unaponunua vyakula vya kusindika, kagua kiasi cha chumvi kulichomo. Chumvi inaweza kufichwa mahali ambako hukutegemea, hasa kwa vyakula vinavyochanganywa na sukari.

VYAKULA BORA
Vyakula bora vyenye kiwango kikubwa cha ‘faiba’ (ufumwele) hupunguza hatari ya mtu kupatwa na satarani. Vyakula hivyo ni pamoja na matunda, mboga mboga, nafaka zisizokobolewa na mikate inayotengenezwa kutokana na ngano isiyokobolewa (whole bread), mchele mweusi, kunde, n.k.

MAFUTA
Mafuta ni muhimu kwa mwili wa binadamu, lakini haishauriwi mtu kupenda kula vyakula vyenye mafuta mengi, hasa mafuta ya wanyama ambayo siyo mazuri kiafya. Kwa ujumla kanuni ya ulaji sahihi ni kula matunda na mboga kwa wingi, vyakula vitokanavyo na nafaka zisizokobolewa na jamii yote ya kunde na maharage, vyakula hivyo vimethibitisha kupunguza kwa kiwango kikubwa hatari ya mtu kupata saratani

Fikra za Sokoine

ALIYOYASEMA EDWARD MORINGE SOKOINE

 

Ndugu Edward Moringe Sokoine (01/08/1938-12/04/1984) alikuwa Waziri Mkuu wa aina yake nchini Tanzania. Aliongoza katika kipindi ambacho nchi ilikuwa katika hali ngumu sana ya kiuchumi. Leo ni miaka 27 toka Taifa limpoteze shujaa huyu. Katika kuenzi fikra zake ambazo bado zinahitajika sana leo, Udadisi inakuletea nukuu zifuatazo kama ilivyozipata kutoka kwenye Kitabu cha Edward Moringe Sokoine: Kiongozi wa Watu Aliyejitolea kilichoandikwa na Luteni Kanali Albert N. Kigadye mnamo mwaka 1984:

"Ole wake kiongozi mzembe na asiye na nidhamu nitakayemkuta: Kiongozi wa siasa hana usalama wa aina yoyote. Usalama wake ni kudra ya Mungu na Wananchi peke yake. Viongozi wazembe na wabadhirifu wahesabu siku zao. Labda tusiwajue. Hawa hatuna sababu ya kuwapa imani, kuwa tutawalinda kama vitendo vyao viovu" - Edward Moringe Sokoine, 26 Machi 1983

"Juu ya suala hili la mapato kutolingana na matumizi ni kwamba tungependa kupunguza uongezaji wa wataalam wasiohitajika katika Serikali na katika mashirika ya umma mpaka hapo hali yetu ya uchumi itakapokuwa katika hali nzuri" - Edward Moringe Sokoine, 23 Oktoba 1982

"Serikali inasimamia bei, lakini Serikali yetu itakwenda mpaka itasimamia bei ya mhogo, dagaa na bei ya kila kitu? Haiwezekani, vitu vingine ni lazima vizalishwe kwa wingi ili bei yenyewe iweze kujirekebisha" - Edward Moringe Sokoine, 24 Septemba 1983

"Wajibu wa kila Mtanzania, kila familia na kila anayekula ni kujilisha mwenyewe. Si wajibu wa Taifa kumlisha mtu. Unaweza ukasaidiwa unapopatikana na janga. Lakini kama hakuna janga ni wajibu wa kila mtu aweze kujitosheleza kwa chakula na atoe ziada kwa Taifa" - Edward Moringe Sokoine, 4 Oktoba 1983

"Vijana leo wengi wana mali zaidi kuliko wazee waliofanya kazi miaka thelathini hadi arobaini. Lakini wanaitaka Serikali ndiyo iwaulize mali hiyo wameipata wapi. Hivi kwa nini mzazi asimuulize mwanae, 'mali hii umeipata wapi?'" - Edward Moringe Sokoine, 23 Oktoba 1983

"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi" - Edward Moringe Sokoine, 1 Februari 1977 
 

Afya Yako leo hii


Fahamu kwanini unatakiwa kuzifanya Ndizi kuwa sehemu ya maisha yako.

Ndizi ni tunda ambalo limezoeleka kwa watu wengi , linapatikana karibu kila mahali. Hata hivyo inawezekana ukawa hujafahamu umuhimu wa tunda hili mwilini mwako . Taarifa ifuatayo itabadilisha mtazamo wako.
Ndizi mbivu zina sukari zinazohitajika kwenye mwili wako , sukari hizi ni zile ambazo zinafahamika kwa majina ya kitaalamu ya Sucrose , Fructose na Glucose ambazo kwa pamoja zimechanganyikana na Fibre muhimu ambazo zinalifanya tunda hili kuwa chanzo muhimu cha nishati au nguvu inayohitajika mwilini mwako.

banana-amazing-fruit-and-cure
Utafiti umeonyesha kuwa ndizi mbivu mbili zinatosha kukupa nishati ambayo utaitumia kwa mazoezi ya nguvu ya dakika 90 ambazo ni sawa na saa moja na nusu . Hii ndio sababu wanamichezo wengi hutumia ndizi mbivu kabla na baada ya mazoezi mazito na wakati mwingine kabla na baada ya mashindano katika mchezo husika .
Nishati si faida pekee inayokuja kwenye tunda la ndizi , tunda hili lina faida nyingine ambayo ni kuusaidia mwili wako kupambana na kujikinga na maradhi  kadhaa.
Msongo wa Mawazo/Mfadhaiko wa akili(stress & Depression)
Kwa mujibu wa tafiti kadhaa , watu wengi wanaopata mafadhaiko au msongo wa mawazo hujisikia nafuu pale wanapokula ndizi mbivu . Hii ni kwa sababu ndizi mbivu  zina virutubisho aina ya TRYPTOPHAN ambayo ni aina ya protini ambayo mwili huigeuza na kuwa SEROTONIN ambayo kazi yake ni kukufanya upate utulivu na kukurejesha katika hali ya kawaida mpaka utakapota furaha na kuondokana na msongo wa mawazo . Zaidi ya hapo ndizi huongeza Vitamini B6 mwilini  ambayo inasimamia usambazaji wa glucose au sukari mwilini na hivyo kusaidia kutuliza msongo wa mawazo .

 Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
Ndizi zina madini ya chuma  na zinasaidia uzalishaji wa haemoglobin ambayo ni mzalishaji mkuu wa damu mwilini  hivyo inawasaidia wale wenye matatizo ya upungufu wa damu mwilini.

Presha ya Damu.
Ndizi mbivu zina madini ya Potasium na ina madini ya chumvi kwa kiwango cha chini  jambo ambalo linafanya tunda hili kuwa dawa ya kupambana na matatizo ya presha . Mamlaka ya chakula na dawa nchini marekani imetambua uwezo wa ndizi katika hili kiasi cha kuagiza wazalishaji na viwanda vya ndizi kufanya tunda hili kuwa rasmi katika mapambano ya kupunguza vifo vitokanavyo na presha na kiharusi (stroke)

Nguvu ya Ubongo/Akili(Brain Power)
Katika utafiti uliofanywa huko Twickenham (Middlesex) nchini Uingereza wanafunzi 200 walifaidika kwa kufaulu mitihani yao mwaka huu kwa kula ndizi mbivu katika milo ya asubuhi  na mchana . Ndizi imebainika kuwa na uwezo wa kuusaidia ubongo kuongeza nguvu yake . Utafiti umeonyesha kuwa madini ya Potassium yanaweza kusaidia ubongo kuwa na kasi na uwezo zaidi ya hali ya kawaida.

bananas-3

Kufunga Choo (Constipation)
Fiber inayopatikana kwenye ndizi mbivu inaweza kuurejesha utumbo ambao umesababisha kufunga choo kufanya kazi kama kawaida .

 Madhara ya matumizi ya kilevi (Hangover)
Moja ya njia za haraka za kurudi kwenye hali ya kawaida baada ya kupata madhara ya matumizi ya kilevi hasa asubuhi unapoamka ni kutumia ndizi au bidhaa zitokanazo na ndizi kama vile Banana Milkshake . Ndizi hutuliza tumbo na inajenga au kurejesha kiwango cha kawaida cha sukari mwilini huku ikirutubisha mfumo wa maji mwilini .

Kiungulia (Heartburn)
Ndizi zina uwezo wa kupambano na kemikali au acid zinazosababisha kiungulia , jaribu kula ndizi na utakuwa shahidi katika hili.

Kuumwa asubuhi kwa wajawazito(Morning Sickness)
Matumizi ya ndizi yamegundulika kusaidia kuepusha kuugua asubuhi ambako kunawapata kinamama wajawazito , hii ni kutokana na uwezo wa tunda hili wa kucontrol kiwango cha sukari mwilini.

Alama za Kung’atwa na Mbu.
Kwa wale wanaotokwa na vile vipele vidogo vyekundu baada ya kung’twa na mbu , jaribu kufuta eneo lenye kipele kama hicho kwa upande wa ndani ya ganda la ndizi , ni ajabu lakini hufanya kazi kwa kuwa hii hupunguza uvimbe na muwasho.

Neva (Nerves)
Ndizi zinasaidia sana kutibu mfumo wa neva (nervous system).
Hata kwa wale watu wenye matatizo ya uzito ambao unatokana na tabia zisizo za salama za ulaji hasa kutokana na kukosa muda wa kula na kulazimika kula vyakula vyenye mafuta  mengi vinavyopikwa haraka ndizi inaweza kuwa msaada mkubwa . Utafiti uliofanywa kwa watu 5000 ambao walikuwa wagonjwa wa hospitalini walipata nafuu ya matatizo yao kwa kutumia ndizi kila baada ya saa mbili .

Vidonda vya tumbo .(Ulcers)
Ndizi zinatumika kama chakula ambacho kinaweza kuwa na msaada kwa watu wenye matatizo kwenye utumbo, hii ni kutokana na ulaini wake na hupunguza acid ambayo inasababisha vidonda tumboni  na pia hupunguza maumivu kutokana na kuziba baadhi ya vidonda hivyo .

 Kupunguza hali ya joto mwilini.
Ndizi ni tunda ambalo huweza kusaidia kupunguza joto . Nchini Thailand kina mama waja wazito hula ndizi ili kuhakikisha wanawazaa watoto wao katika hali ya joto pungufu.

Banana_stand_near_Lake_Manyara_Tanzania_DP392 

Hivyo basi ndizi ni tunda ambalo lina uwezo wa kusaidia matatizo mengi ya afya ya mwanadamu . Unapolifananisha na Apple ndizi inazidi tunda hili kwa protini kwa angalau mara nne , madini ya wanga au carbohydrates mara mbili , madini ya fosforasi mara tatu ,Vitamini A na madini ya chuma mara tano , na mara mbili kwenye vitamin nyingine na madini . Ni muda wa kubadili ule msemo usemao Apple moja kwa siku hukuweka mbali na daktari na kuufanya kuwa Ndizi moja kwa siku hukuweka mbali na daktari au hospitali.

Cristiano Ronaldo achangia damu

CRISTIANO RONALDO ASAFIRI MPAKA GALICIA KWENDA KUCHANGIA DAMU KWA MAJERUHI WA AJALI YA TENI

ronaldo-blood
 
Kwa mujibu wa ripoti katika vyombo vya habari za Spain - Cristiano Ronaldo alisafiri kutoka jijini Madrid kwenda mpaka ilipotokea ajali ya treni huko Galicia na kwenda kuchangia damu kwa majeruhi wa ajali ya hiyo ya treni iliyotokea karibu na kaskazini mashariki mwa Santiago de Compostela.

Inasemekana kulikuwepo na majeruhi zaidi ya 160 huku watu wengine 0 wakifariki dunia. 

Pamoja na kuripotiwa kufanya kitendo hicho, nyota huyo wa Real Madrid alitumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kutoa pole kwa wahanga wa ajali hiyo

Aliandika 

“Ni huzuni mkubwa kwamba nimesikia habari za ajali ya treni nchini Spain. #animogalicia”

“Ninaungana na ndugu jamaa na marafiki wa wahanga wa ajali na nawaomba watu wengine mkasaidie majeruhi wa ajali hiyo. #animogalicia”

Usome ujumbe huu alaf kisha nahitaji maoni toka kwako

Siku moja punda wa mkulima alianguka ndani ya kisima. Mnyama huyo alipiga kelele kinyonge kwa masaa kadhaa wakati mkulima akijaribu kufikiri nini cha kufanya.
 
Hatimaye, aliamua kwakuwa punda wake alikuwa mzee, na pia kisima hicho kilihitaji kufunikwa juu, Akaona hapakuwa na haja ya kumtoa.
 
 
Akaita majirani zake wote waje kumsaidia. Wao wote wakachukua makoleo na kuanza kuchota taka kwa koleo na kuzitupia ndani ya kisima.
 
Mara ya kwanza, punda aligundua nini kilikuwa kinatokea akapiga kelele kwa nguvu. Basi, ikawashanganza wale watu punda aliponyamaza ghafla!
Baada ya kutupa taka kadhaa kwenye hicho kisima. Huyo mkulima alishangazwa na kile alichokiona. Kwamba kila koleo la taka lililorushwa juu ya mgongo wa punda, punda alikuwa akifanya kitu cha kushangaza. Alikuwa akijitikisa ili taka zimwagike chini huku akipiga hatua moja kutoka shimoni.

Kadri mkulima na majirani walivyoendelea kutupa uchafu kwa koleo juu ya punda yule, alizidi kutikisa mgongo wake na kupiga hatua moja kuja juu. Muda mfupi baadae, kila mtu alishangaa jinsi punda alivyozidi kutokeza ndani ya kisima na kuja juu.



FUNZO:
Maisha yatakutupia kila aina ya uchafu. Ili utoke nje ya kisima wahitaji kujitikisa na kuchukua hatua moja juu. Kila tatizo ulilonalo, ni jiwe la kukuwezesha kukanyaga na kupiga hatua kuja juu. Tunaweza kutoka nje ya kisima kirefu kwa kuongeza bidii ya kupiga hatua moja kuja juu bila kuacha na kutokata tamaa kamwe. Tikisa uchafu mbali na kuchukua hatua kuja juu.

 
Kumbuka kanuni 5 rahisi ili uwe na furaha:

 
1. Weka huru moyo wako mbali na chuki - Samehe.

2. Weka huru akili yako mbali na wasiwasi - Wengi hushindwa kabisa kipengele hiki.

3.Tosheka / ridhika na ulichonacho.

4. Toa zaidi.

5. Tarajia vichache kutoka kwa watu lakini zaidi kutoka kwako mwenyewe.

Baada ya Messi sasa ni rais wa bayern munich

RAIS WA BAYERN MUNICH ASHITAKIWA KUKWEPA KODI

 
 Wiki kadhaa baada ya mchezaji bora wa dunia Lionel Messi kutuhumiwa kukwepa kulipa kodi, sasa raisi wa mabingwa wa ulaya Bayern Munich Uli Hoeness ameshatakiwa kwa makosa ya kukwepa kodi, mwendesha mashtaka wa Ujerumani amethibitisha.

Imegundulika kwamba mnamo April mwaka huu, Uli, 61, alishindwa kulipa kodi ya kodi akaunti yake iliyopo nchini  Switzerland mnamo mwezi January, na sasa imethibitika ameshtakiwa kwa makosa ya kukwepa kodi.

"Mwendesha mashataka wa jiji la Munich II amekamilisha uchunguzi," taarifa rasmi ilisema.

"Mahakama ya makosa ya jinai ya mkoa wa Munich II sasa inasubiriwa kuamua kukubali au kukataa mashtaka hayo."

Msemaji wa klabu ya Bayern Markus Horwick aliiambia SZ kuhusu issue hiyo: "Hatutosema kitu chochote kuhusu suala hili."

XAVI: "FABREGAS ana furaha CAMP NOU, Balle hana thamani ya million 90"

GARETH BALE HANA THAMANI YA MILLIONI 90 - XAVI

GARETH BALE hana thamani ya £90million, hii ni kwa mujibu wa kiungo wa FC Barcelona Xavi Hernandez.

 

Kiungo huyo wa Hispania amenukuliwa akisema kwamba bado hajamuangalia vizuri nyota huyo wa Spurs kiasi cha kumfanya kutoa maoni yake kuhusu kutakiwa kwake na Real Madrid. 

Alisema: “Sidhani kama Bale ana thamani ya fedha hizo zinazotajwa.
Kiukweli kabisa sijawahi kumuona akicheza dakika 90 zote.

Xavi pia alisisitiza  Cesc Fabregas ana furaha kuwepo ndani ya Barcelona, pamoja na kutakiwa na Manchester United.
Kiungo huyo alisema: “Anaonekana kutulia, ana mkataba hapa. Anajituma mazoezini na anacheza vizuri.
"Kuhusu kuondoka, nadhani ni tetesi tu. Tutaona kitakachotokea lakini kwa sasa anaonekana kutulia na tayari kwa msimu mpya na Barcelona.

Sunday, July 28, 2013

Maurinho atarejea Inter baada ya miaka 3

BAADA YA MIAKA 3 JOSE MOURINHO ATARUDI INTER MILAN - MORATTI

 
Mmiliki wa Inter Massimo Moratti amezungumza na kusema kwamba kocha wa Chelsea Jose Mourinho atarudi kuifundisha klabu yake katika kipindi cha miaka mitatu ijayo. 

Mourinho aliifundisha Inter kwa maiaka miwili baada ya kuondoka Chelsea mwaka 2007, akishinda makombe matatu nchini Italia likiwemo kombe la mabingwa wa ulaya, na akishinda Serie A mara mbili mfululizo.

Na Moratti amethibitisha kwamba kwenye mazungumzo yake ya simu na Mourinho, kocha huyo ameonyesha nia ya kurudi Milan huko mbeleni. 


"Niliongea na Mourinho kumpa hongera kwa kurudi Chelsea," Moratti alisema wakati akiongea na La Stampa.

"Nini ambacho aliniambia Jose? Aliniambia kwamba ndani ya kipindi cha miaka ijayo tutaonana tena wakati na Inter."

Jose Mourinho huko nyuma amekuwa akikaririwa kwamba Inter na Chelsea ndio timu ambazo zipo karibu na moyo wake.

Angalia Picha baadhi ya alama za Freemason

HIZI NI BAADHI ALAMA KUU ZA FREE MASON UKIZIONA POPOTE UJUE WAPO!



















Ijue Historia Fupi ya Freemason

HISTORIA FUPI YA FREEMASON SOMA HAPA:


HISTORIA FUPI YA FREEMASON.
Ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao.
Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu.

Naomba niorodheshe mambo machache niliyoambiwa kuhusiana na Freemasonry.


1. Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake kwanza ilkuwa ni kundi la mafundi waashi (masons) au wajenzi kuwa lugha nyingine. Walikuwa ni wataalamu waliobobea kwenye masuala ya ujenzi wa mahekalu na mabenki ya zama hizo zinazoitwa kwa kizungu (medieval times).
Niliambiwa walikuwa ni watunzaji wa pesa za kanisa katoliki. Kwani walikuwa wanajenga mahekalu(cathedrals) za wakatoliki na mabenki/ mahandaki ya kuhifadhia pesa pamoja na kuzikia(catacombs).
Niliambiwa wanaweza kujenga hayo maandaki kwa utaalamu mkubwa kiasi kwamba ukiingia ndani ya hayo mahandaki bila ramani unaweza ukashindwa kutoka hata unaweza kupotelea humo humo ndani usiweze kutoka tena. Hicho ndicho kilichokuwa ni kiwango cha utaalamu wao.

2. Kwa kuwa walikuwa ni waashi ndiyo maana alama zao ni vifaa vya ujenzi, Pima maji n.k

3. Inasemekana mji mkuu wa marekani (Washington DC) ulisanifiwa na kujengwa na Freemasons. Na inasemekana ni mji makini ambao umejengwa ukizingatia pembe tatu zenye nyuzi zinazowakilisha u freemason.

4. Ikatokea kipindi ambapo hawa freemasons wakaasi kwa kuanza kujishirikisha na mambo ya nguvu za giza. Wengine wanasema walianza kuiba pesa za kanisa katoliki, lakini ukweli halisi haujulikani. Kutokana na sababu hizi na zinginezo ambazo ni siri kati ya kanisa katoliki na freemasons, Freemasons wakafukuzwa kutoka ukatoliki.

Ndio maana hakuna maelewano kati ya freemasons na wakatoliki. Wakatoliki wakaanzisha shirika jingine badala ya hao freemasons lijulikanalo kama Jesuits.

Jesuit Fathers ni mapadri wa katoliki wa daraja la juu sana wenye elimu ya juu zaidi ambao hufanya kazi za siri za utawala na udhibiti ndani ya kanisa katoliki.

5.Kuhusu imani yao (freemasons) nikaelezwa kwa kifupi kuwa wanaamini Yesu na Lucifer ni mtu na ndugu yake. wanaamini kuwa Lucifer ndiye mwema na mzuri lakini wanaamini kuwa Yesu ndiye mwenye mabaya. alimfanyia hila Lucifer aonekane mbaya.

6.Kinachoendelea ndani yake kuhusiana na ibada zake ni siri kwani kuna daraja ambazo muumini wa freemason anapanda kutokana na kubobea katika imani ikiwa ni pamoja na kutunza siri zao. Ninajua kuwa daraja ya juu kabisa ni nyuzi ya 33 (33rd degree)

7. Ni watu wenye nguvu mno na mambo yao ni makubwa mno na siri zao ni nzito mno. Ndiyo maana haziko wazi.

Wafuasi wa kiwango cha chini wala hawajui shirika hili linahusika na nini manake hata wao hawaambiwi kitu. Kwa wafuasi wa daraja ya chini wanakwenda ku socialize tu. Yaani kwa wasio jua kitu kule kwenye lodge zao ni kama YWCA au WMCA au club hivi. Kwenye nchi kama marekani watu wasio jua siri wanachukulia kama sehemu za kusocialize tu.

8. Freemasonry inawekwa pamoja na makundi mengine makubwa ya siri, yanayoendesha ulimwengu mzima kwa nguvu za kiuchumi, siasa na mambo ya utawala.

Angalia picha za maeneo mbali mbali zenye maajabu duniani

10 Unknown Wonders of the World

1. Fossil Hominid Sites of Sterkfontein

The Cradle of Humankind, this site is a complex of over 36 limestone caves in South Africa, not far from Johannesburg. Within these caves scientists have found a huge number of hominid fossils dating back over 3.5 million years, with one cave alone containing over a third of all hominid fossils ever found. The caves also show signs of occupation as well, including the first ever in-situ hominid stone tools, and the oldest controlled fire dated to over 1 million years ago. Some of the better known finds include Mrs Ples, the most intact skull of an Australopithecus Africanus ever found, although the sex is not definitely female, x-rays of the teeth seem to show that this was a sub-adult. Another famous find is Little Foot, an amazingly complete hominin skeleton which is believed to be between 2.5 to 3.3 million years old.


2. Takht-e Jamshid
Persepolis, it is located in the south of Iran and was the capital of the Achaemenid Empire. Construction was started around 515BC by Cyrus the Great, but the most impressive works were completed by Darius the Great and Xerxes the Great (yes the bad guy from 300) in around 470BC. One of the most awe inspiring structures on this site is the Apadana palace which was the main hall of the kings, where the tributes from nations within his Empire would have been received. The building was supported by columns 20m high, topped with a brace carved to the shape of lions or bulls. I have seen an example of these braces in the Louvre and it gives you an amazing idea of the size and scale of Persepolis. The place also contains the gate of nations, the hall of 100 columns, the imperial treasury, council halls, military quarters, reception halls, cisterns, drainage, sepulchers, royal tombs, royal stables, chariot houses and a number of palaces and royal residences, all covered in engravings and mosaics. The city was destroyed in 330BC, by Alexander.
3. Lascaux Cave

Lascaux is group of caves in southwest France which were decorated over 17,300 years ago, with Paleolithic cave paintings. The public were allowed to view the caves in 1948, but by 1955 the carbon dioxide exhaled by the visitors had damaged the paintings causing the cave to be closed, the art was restored and is now monitored on a daily basis. The images are mostly of animals known to have lived in the area at the time, but images of humans and abstract signs are also present. Some of the images have been carved into the cave but the majority of art has been painted on using mineral pigments. A large portion of the paintings are of horses, but stags, cattle, aurochs, felines, birds, bears and rhinoceros’s are also represented. There are many theories on why this cave was decorated in this manor: it is thought that some of the art may represent star charts, as the constellations of Taurus and Pleiades can be found within the cave. There are also theories that this would have been a scared space to communicate with deities, a gathering place to plan a hunt together or even a record to celebrate the success of a hunt. We will probably never know but these images give us a fascinating look into our past.

 
4. Tropical Rainforest Sumatra

  The Tropical Rainforest of Sumatra is made up of three national parks on the island of Sumatra in Indonesia, and was chosen due to its outstanding scenic beauty and natural habitats for in-situ conservation. The three parks all contain different habitats, allowing for a large diversity in both flora and fauna. The parks are home to Rafflesia Arnoldi, the world’s largest flower, and Amorphophallus Titanum, the worlds tallest flower, as well as 174 species of mammals and 380 species of birds. Of these specimens, 16 are endemic and 73 are currently threatened. Species such as Orang-utans, Sumatran rhinoceros, bornean clouded leopards, Asian tapirs, Sumatran elephants and the leather back turtles are all found within this site, making it one of the most diverse and important conservation sites in the world. The sites main threat is residential expansion and encroaching human occupation, both of which is being battled by a number of different preservation groups.

5. Wadi Al-Hitan

The Whale Valley is found in a desert in Egypt, the site contains fossils showing the evolution of whales from land mammals to the ocean going creatures we are familiar with today. Fossils of the Archaeoceti suborder such as Basilosaurus and Dorudon are common, but the skeletons of sea cows Sirenia, elephants Moeritherium, crocodiles, sea turtles and sea snakes have also been found at the site. The sheer number and quality of these fossils found in such a high concentration make this site unique. The quality of preservation is so good that stomach contents have been found preserved, while the combination of other species found at the site make it possible to reconstruct the environmental and ecological conditions.

6. Wudang Building Complex
 The Wudang Mountains are a small mountain range found in eastern China, which have been inhabited since at least 250 AD. Its called as Taoist monasteries, which were renowned as centers for meditation, martial arts, agriculture and medicines. People traveled to this area to research, learn and practice these skills. The palace and temple complex was constructed in the Ming Dynasty and within it are buildings dating from the 7th century. One of the more famous temples is the Golden Hall; built in 1416, the hall is constructed from gilded copper. It consists of 20 tons of copper and over 300kgs of gold, and was supposedly forged in Bejing, then moved to Wudang. The Nanyan Temple perches precariously on top of a cliff, in legend it is known as the place from which Emperor Zen Whu flew to heaven. The entire temple, including beams, gates and windows, is carved from rock and within the temple are gilded bronze statues of dozens of Taoist deities. Scattered across the cliffs are 500 gilded iron statues of heavenly officials. Another notable building, the Purple Cloud Temple is made up of several halls, the Dragon and Tiger Hall, the Purple Sky Hall, the East Hall, the West Hall and the Parent Hall.

7.Ellora caves

 Ellora is the site of monumental, rock cut, cave temples representing Buddhist, Hindu and Jain religions, built from 400AD in close proximity to each other to show the religious harmony in the area. The structures are multi level buildings, carved directly from caves within the mountain face, and include monasteries, shrines and places of worship. Many of the buildings have vaulted ceilings and are all intricately carved, with most of the shrines containing large carved deities. During construction, 200,000 tonnes of rock had to be removed from the site by generations of workers. Some notable caves are: the Buddhist shrine Vishvakarma, which features a multi-storied entrance, a large hall with vaulted ceilings and a 15ft carving of Buddha in a preaching pose; The Indra Sabha is a two level Jain cave with a monolithic shrine, like all of the Jain caves it once had richly painted ceilings, part of which are still visible today. It also has fine carvings of lotus flowers, Yaksha Matanga on an elephant and Ambika sitting on a lion under a mango tree. Kailasanatha is the centerpiece of Ellora, made to resemble mount Kailash, the home of lord Shiva, this Hindu shrine was built by Krishna I in around 760AD.

8. Aldabra Atoll

Aldabra is the world’s second biggest coral atoll, it is uninhabited, isolated and virtually untouched by humans. The atoll is the home to the world’s largest population of giant tortoises, which makes it an extremely valuable conservation site. During the 1700s, the islands were used by the French to hunt giant tortoises, as they were considered a delicacy at the time, but by the 1900s they had been hunted to the brink of extinction. The tortoises also share this atoll with the Aldabra Rail, the endangered Malagasy Sacred Ibis, Green and Hawksbill turtles and two species of bats found only on Aldabra.

9. Leshan Giant Buddha


This Maitreya Buddha was carved from a cliff face where the Minjiang, Dadu and Qingyi rivers meet, in southern Sichuan, China. It was constructed by a Chinese monk named Haithong in 713, his followers worked on and off for 90 years to complete it and, today, it is still the largest stone Buddha in the world, at 71m tall and 28m wide. Where the three rivers meet, the water currents were dangerous and would often sink shipping vessels, Haithong thought if he carved the Buddha there it would help to calm the waters. The stone removed to carve the Buddha was dumped into the river, unintentionally altering the currents and calming the waters. Today the Buddha is threatened by pollution, and the wear and tear caused by the thousands of tourists who come each year to visit the statue.


10. Hatra

Hatra is located to the northwest of Baghdad in Iraq, you may recognize it from the opening scenes in the film, The Exorcist. It was constructed during the 3rd century BC, by Arabs under the Iranian Parthian Empire. The city became the capital of the first Arab kingdom and became an important border fort against roman invasion. The city was ruled by Arabian princes who would have paid a yearly tribute to the rulers of the Iranian empire, until the Iranians took the city by force in 241. Hatra is recognized as one of the best preserved Parthian cities, with many of its structures still standing, including the inner and outer defensive walls and towers, and a range of temples dedicated to a different Gods from many different cultures.