Pages

Friday, May 24, 2013

Fast 6 new movie

FAST AND FURIOUS KUTOKA LEO DUNIANI KOTE
Movie iliyokuwa inasubiriwa sana na mashabiki wa fast and furious 1,2,3,4 na 5, leo hii inatoka katika kumbi za cinema mbali mbali duniani kote ikiwemo na Tanzania, ambapo Fast and Furious 6 itaonyeshwa leo hii ndani ya ukumbi wa Century Cinemax kuanzia saa moja na nusu usiku. Cheki na treillar yake hapa kama hujawahi kuiangalia

Tuesday, May 21, 2013

Habari leo


SHIGONGO ATOA SOMO KWA WAJASIRIAMALI WA BENKI YA NMB MOROGORO

 

Pichani juu ni Eric shigongo akiongea na wajasiriamali wa benki ya NMB katika ukumbi wa Hoteli ya Oasis mjini Morogoro leo.
Meneja Joseph lsaac Mwingilo (kulia) akiongea jambo na Shigongo baada ya semina hiyo.
 

Afisa Mikopo wa NMB tawi la Wami, Elizabeth Mbunda, akibadilishana mawazo na Shigongo kuhusu mambo ya ujasiriamali.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE, GPL / MOROGORO)

SIMU YAKO YA ZAMANI

powered by




SIMU YAKO YA KWANZA IKO WAPI KATIKA HIZO??



Siku hizi watu mna masmartphone nini lakini tulitoka huku.....

Friday, May 17, 2013

Umasikini Makete


AJIRA KWA WATOTO MPAKA LINI; WATOTO MAKETE NA BIASHARA YA MKAA.


 Mkaa ukiwa sokoni makete amabo unauzwa sh. 2000 na watoto hao ambapo kwa mujibu wa maelezo yao wamesema wanatumwa na wazazi wao kufanya hivyo
Hapa wakijiandaa kuugawa mkaa huo kidogo kidogo ili wautembeze mitaani kusaka wateja 
 Waangalie wafanyabiashara hawa, ambao kwa mtazamo wangu wanatakiwa wafanye kazi moja kubwa ambayo ni kusoma
 Wakitafakari cha kufanya 
 Anazunguka mitaani kutafuta wateja
Akitafakari jambo, sijui kachoka ama vipi maana hii biashara duuuuuuh!

IDDY POST

 IMEELEZWA BAADHI YA VIONGOZI NDIYO CHANZO CHA UVUJAJI WA SIRI MAKAZINI NA SI MASEKRETARI.

Mtoa mada iliyohusu Maadili kazini,Bwa.Alex Senzota kutoka Idara ya Usalama Kazini (GSO),akifafanua zaidi kuhusiana na mada iliyohusu Maadili kazini na namna ya kutunza/kuepuka uvujaji wa siri za ofisi husika,mapema leo kwenye Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) uliofanyika ndani ya  ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Chama chama cha Makatibu Muhtasi  Nchini Uganda (NASAP),Bi Edith Kutesa Giita akifafanua jambo kuhusiana na mada mojawapo ya iliyohusu Ni namna gani unaweza kuwa Katibu Muhtasi unaekwenda na wakati/wa kisasa,mapema leo kwenye Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA) lililofanyika ndani ya  ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha.

 Mwenyekiti wa chama cha Makatibu Muhtasi  (Tanzania Personal Secretaries Association - TAPSEA),Bi Pili Mpenda akifafanua jambo mbele ya washiriki wa Kongamano la Tatu la Makatibu Muhtasi  likiendelea ndani ya  ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC), Jijini Arusha,kulia kwake ni Mwenyekiti wa Chama chama cha Makatibu Muhtasi  Nchini Uganda (NASAP),Bi Edith Kutesa Giita.