Pages

Friday, May 17, 2013

Umasikini Makete


AJIRA KWA WATOTO MPAKA LINI; WATOTO MAKETE NA BIASHARA YA MKAA.


 Mkaa ukiwa sokoni makete amabo unauzwa sh. 2000 na watoto hao ambapo kwa mujibu wa maelezo yao wamesema wanatumwa na wazazi wao kufanya hivyo
Hapa wakijiandaa kuugawa mkaa huo kidogo kidogo ili wautembeze mitaani kusaka wateja 
 Waangalie wafanyabiashara hawa, ambao kwa mtazamo wangu wanatakiwa wafanye kazi moja kubwa ambayo ni kusoma
 Wakitafakari cha kufanya 
 Anazunguka mitaani kutafuta wateja
Akitafakari jambo, sijui kachoka ama vipi maana hii biashara duuuuuuh!

No comments:

Post a Comment